UHAI WA NENO LA MUNGU NDANI YA MKRISTO
Mtu aliye nakiu yakujua uzuri wa Mungu na siri yamaisha yake ndani yakristo, imempasa kuyajua haya
Kama ilivyo ktk maisha yakawaida, sheria ndio msingi na mwongozo ktkt ya watu wawili, familia, jamii, taifa hata ulimwengu mzima na haki ndio uhuru na furaha ya mtu,haijalishi ufukara au utajiri alionao ila haki ni nguvu ya utetezi na amani , ndivyo ilivyo ktk kristo, sheria ndio inatupa kujua namna tunaweza mpendeza Mungu na kuishi nae kwa uzuri zai, lakini haitusaidii pale tunapo mkose, ila damu ya Yesu kristo pekee utusaidia kupata haki itupayo uhuru, furaha na ninguvu ya amani; yaani injili.
Ktk
maisha ya kikristo, Uhai wa Neno la Mungu ndani mtu, ndiyo jambo la Muhimu
kuliko vyote.
Kuijua injili na sheria ndio uhai wa Neno la Mungu ndani ya mtu, huwezi kuvitenganisha vitu hivi viwili, na huwezi kutafuata kuukulia wokovu kama unatenganisha hivi.
Ktk kimoja dhambi hudhihirishwa na kwa kingine dhambi husamehewa/huondolewa.
tofauti
hii ni ufunguo wa kulielewa Neno la Mungu – Biblia Takatifu – na ufunguo wa
kumfahamu Mungu.
Watu wengine wanadhani kwamba Sheria ni Agano la Kale, na Injili ni Agano Jipya. Lakini si kweli! Katika Agano la Kale na Agano Jipya tunakutana na Sheria na Injili.
"
“Tofauti kati ya Sheria na Injili
ni kubwa na nuru kubwa. Kwa kuona hivyo Neno la Mungu litagawanyika sawa, na
maandiko ya manabii watakatifu na mitume yatatangazwa na kuelezwa sawa.”
"Lengo la mahubiri na
mafundisho yote
ni watu wapate
kukutana na
Mungu.(Mungu pamoja
nasi)
Lakini
Mungu ni wa namna gani? Ikiwa nitawaeleza wengine jinsi Mungu alivyo, lazima
kwanza nimjue mimi.”
SHERIA
Sheria ya Mungu
inaonyesha mapenzi ya Mungu. Ni
jinsi anavyotaka tuishi vizuri pamoja. Sheria inalenga moyo wangu,
kazi yangu na
matendo yangu.
Sheria ni
yale yote Mungu
anataka niyafanye.
Dhambi
inaleta hasira ya Mungu.
Mwenye
dhambi hawezi kumwona Mungu na kuishi.
Amri ya Mungu
kwa ajili
yetu:
“Kwa
ajili ya hayo mtazishika amri zangu
na hukumu zangu;
ambazo mtu
akizitumia ataishi kwa hizo; mimi
ndimi BWANA.”
Walawi 18:5.
Hukumu
ya Mungu:
“Na
alaaniwe asiyeyaweka imara maneno
ya torati hii
kwa kuyafanya. Na watu
wote waseme, Amina.” Kumbukumbu 27:26.
Watu waseme
amina
kwa sababu
Sheria
ni
nzuri
Ni
mafundisho na
mwongozo, yani
maneno yatokayo ktk kinywa
cha Mungu.
“Hakuna kosa kama hakuna sheria Rumi 4:15”
The Law showing sin in my heart and The Gospel – showing the mercy in God’s heart
The Law showing sin in my heart and The Gospel – showing the mercy in God’s heart
Huongoza ibada
zote na matendo yote ya watu
wa Mungu,wanao Kubali
kumtumikia na
kulishika agano
lake.
Sheria huangaza roho, ila sheria haitoi nguvu ya kushinda dhambi.
Sababu hiyo
torati imekuwa kiongozi wa kuwapeleka watu kwa kristo.Galatia 3:22-25.
Lazima kanisa
lijue kuwa sheria
imekufa kwa upande
mmoja au kufishwa nguvu,Lakini si
kwa namna yakuto kutambulika.
“Yesu hakuja kuitangua sheria ila kuitimiliza,
Mathayo 5:17”
Na
upande mwingine Yesu hakuja
kuitangua torati
ila kuitimiliza,maana yake,
katoa nguvu ya roho
yake kuishinda dhambi.
Nguvu
mpya umetolewa kwa mtu,
ilikuyatimiza yote
yaliyonenwa kwenye
torati.
Warumi 8:2-4 “ …ilimaagizo ya torati
yatimizwe ndani
yetu sisi..”
Wakati
tofauti kati ya Sheria na Injili haitambuliwi katika mahubiri na mafundisho, Neno la Mungu litakuwa kivulini, na
mtu atakuwa na mashaka kama kweli ameokolewa na Yesu tu.
Lazima kanisa
lijue kuwa sheria
imekufa kwa upande
mmoja au kufishwa nguvu,Lakini si
kwa namna yakuto kutambulika.
“Yesu hakuja kuitangua sheria ila kuitimiliza,
Mathayo 5:17”
Na
upande mwingine Yesu hakuja
kuitangua torati
ila kuitimiliza,maana yake,
katoa nguvu ya roho
yake kuishinda dhambi.
Nguvu
mpya umetolewa kwa mtu,
ilikuyatimiza yote
yaliyonenwa kwenye
torati.
Warumi 8:2-4 “ …ilimaagizo ya torati
yatimizwe ndani
yetu sisi..”
Sheria
inatuhusu
nini?
Mioyo yetu
imejaa na
dhambi. Matokeo ya jambo hili
ni kwamba nia
yetu ya kuitimiza Sheria
imepotea. Unaona
sasa! Kwa sababu mimi
ni mwenye dhambi
moyoni, natenda dhambi.
The
Law show us our sin but
can not take it away from us.
“Sheria ni neno kuhusu kuhukumiwa, neno kuhusu hasira, neno kuhusu huzuni na maumivu, neno kutoka kwa hakimu ya kuhukumu, neno kuhusu kuogopa, neno kuhusu laana. Kupitia Sheria hatupati cho chote ila dhamiri mbaya, moyo unaosumbuliwa,
roho ya hofu. Sheria inatuonyesha dhambi zetu, lakini haiwezi kuziondoa.”
Hii ndiyo hali yetu mbele za Mungu!
Mawazo fulani:
1.Bila sauti ya Sheria
hakuna anayeona kwamba anahitaji
Injili.
2.
Mkristo anahitaji kuona jinsi
alivyo Mungu.
Ni Mtakatifu,
mwenye enzi yote, mwenye upendo na mengine
mengi…. Kuhubiri Sheria ni kuonyesha jinsi
Mungu
alivyo.
3.
Mkristo anahitaji kujifunza mapenzi ya Mungu, jinsi
anayependa tuishi.
4.
Mkristo anahitaji kujifunza na kujua jinsi alivyo
mbele za Mungu na Sheria.
5.
Mkristo anahitaji kujua kwamba anamhitaji
Yesu kuwa Mwokozi wake. Kujiona kuwa
mwenye dhambi, na hii ni sababu anatenda
dhambi.
6.
Utakumbuka kusoma Biblia katika nuru ya
Kristo. Kujua tofauti kati ya kuwa ndani au
nje, kuishi au kutokuishi na Kristo.
7.
Kuhubiri Sheria
si sawa na
sauti ya ngurumo (=
hukumu). Wakati
Yesu alihubiri neno
la Sheria
na hukumu
– aliulilia mji
wa Yerusalemu na
watu wake.
8.
Kumbuka kila wakati kwamba matendo
ya
mwanadamu hayawezi kumletea wokovu. Kwa
hiyo ni kosa kuhubiri Sheria peke yake.
Mahubiri
ya kikristo ni Sheria pamoja na Injili.
Injili ni nini?
Sheria
unaweza kufahamu na kuelewa kwa akili zako.
Tofauti
na Injili. Injili ni bila sababu.
Injili ni ”Mambo ambayo jicho halikuyaona wala
sikio halikuyasikia (Wala hayakuingia katika moyo wa mwanadamu), Mambo ambayo
Mungu aliwaandalia wampendao.” 1.
Kor. 2:9.
UPANA
WA INJILI
•Injil ni Neno pana sana,
• RUMI 1;16 “…injili
niuweza(nguvu
ya) wa Mungu
uuletao
wokovu,
kwa kila
aaminiye,…….”
•Kupitia kifungu
hicho
utakubaliana
namimi
kuwa
injili
ni
neno
pana
sana,
Mana
uwezo
au nguvu
za
Mungu
hazikomei
kuelezewa
katika
uzima
wa milele
tu,
ila
kusudi
lake ni
kufikia
kikomo
cha uzima
wa milele.
•Injili ni msamaha na neema ya Mungu. Kwa
neema yake Kristo ananiokoa na hasira
ya Mungu.
•Injili imepunguzwa
kwa kiwango
kikubwa
sana,
pindi
inapo
hubiriwa.
Imepunguzwa
na
kuwa
si
injili
ya UFAMLE bali
ni
injili
ya WOKOVU tu.
•Lazima ihubiriwe
kwa namna
ya utu wa mtu
wote
na
mazingira yake yote, duniani kote (maisha
baada
ya wokovu
duniani
na
mbinguni
nasio
mbinguni
tu).
•Mungu anapo muumba
mwanadamu
alimtengenezea
mazingira
kwanza, lazima
ujue
hilo
Mwanzo
2;5,15),
• kumbe tunapo
zungumzia
injili
ya wokovu
ni
lazima
tugusie
mwanadamu
na
mazingira
pia.
Wakolosai
1;19-20
“kwakuwa
ktk
yeye
ilipendeza
utimilifu
wote
ukae.
Na kwa yeye
kuvipatanisha
vitu
vyote
na
nafsi
yake,
akisha
kufanya
amani
kwa damu
ya msalaba
wake; kwa yeye
ikiwa
nivitu
vilivyo
juu
ya nchi
au mbinguni”.
Rumi
8;19-21
“kwa maana viumbe
vyote
pia vinatazamia
kwa shauku
nyingi
kufunuliwa
kwa wana
wa Mungu.
Kwa maana
viumbe
vyote
pia vilitiishwa
chini
ya ubatili,
si
kwa hiari
yake,
ila
kwasababu
yake
yeye
aliyevitiisha
ktk
tumaini.
kwakuwa viumbe vyenyewe navyo vitawekwa huru na kutolewa ktk utumwa wa uharibifu, hata viingie ktk uhuru wa utukufu wa watoto wa Mungu”
•Fikia kiwango
cha kutambua
maana
ya ujio
wa Yesu
kristo.
•Mathayo
1:23,
inaeleza
maana
ya ujio
wa kristo,
yakwamba
Mungu
ameshuka
kukaa
pamoja
nasi
hapa
duniani
na
milele,
na
hiyo
ndio
injili
yaani
habari
njema.
•Habari njema ni ujio wa ufalme
wa Mungu,sawa
na
mathayo
4:17.
•Ukifuatilia
Mathayo
13, utakutana
na
mifano
mbalimbali, mitano
kati
ya hiyo,
inatupa
picha
ya ufalme
wa Mungu
hapa
duniani
na
miwili
ni
ufalme
wa Mungu
mbinguni.
linaendele Mungu akusaidia kuelewa........efeso 1;15..